UNHCR Tanzania(@UNHCRTanzania) 's Twitter Profile Photo

The rise of Lake Tanganyika's water level from recent heavy rains has flooded our office in Kigoma.

In the camps, the ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Government, UNHCR and partners took preparedness measures in January and relocated refugees away from flood-prone zones to safer areas.

account_circle
Hilmi Hilal(@HilmiHilal88) 's Twitter Profile Photo

Swali kwa Watanganyika!

Katika orodha ya mambo ya Muungano Ardhi sio jambo la Muungano. Nani alotoa mamlaka ardhi ya Tanganyika kuwa ardhi ya muungano? Na kwa nini akafanya hivyo?

Swali kwa Watanganyika! 

Katika orodha ya mambo ya Muungano Ardhi sio jambo la Muungano. Nani alotoa mamlaka ardhi ya Tanganyika kuwa ardhi ya muungano? Na kwa nini akafanya hivyo?
account_circle
Twaha Mwaipaya(@Twaha_Mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

'Nikisema Mzanzibar anauza Bandari za Tanganyika mnaniita mbaguzi, Nikisema Mzanzibar anauza mbuga za Tanganyika mnaniita mbaguzi, kati yangu na alieye tengeneza Katiba inayoruhusu ubaguzi nani mbaguzi' Mh. Tundu Lissu

account_circle
Tanzania Leaks(@TanzaniaLeaks) 's Twitter Profile Photo

Samia anaimaliza Tanganyika na AL Makhtoum wake. Loliondo wamepewa, Ngorongoro wamepewa, Misitu yetu wamepewa, Bandari wamepewa. Bado nafsi zetu, maana Watanganyika tayari watumwa wa waarabu. Samia aondoke na kurudi zake Zanzibari.

account_circle
MwanzoTvPlus(@MwanzoTvPlus) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa, Mheshimiwa Othman Masoud amepinga hatua ya Serikali kufunga Ziwa Tanganyika.
Bwana Masoud amesema mpango huo si wa kitafiti wala kisayansi na itawakosesha wavuvi wengi riziki yao ya kila siku.


Zaidi: youtu.be/aIL6LmlMUrc

account_circle
Juma Juma(@Juma0Juma) 's Twitter Profile Photo

Mashujaa FC๐Ÿ†šYoung Africans SC

Tunautaka Ubingwa๐Ÿ’š๐Ÿ’š
๐Ÿ“† 05.05.2024
๐ŸŸ Lake Tanganyika

Mashujaa FC๐Ÿ†šYoung Africans SC

Tunautaka Ubingwa๐Ÿ’š๐Ÿ’š
๐Ÿ“† 05.05.2024
๐ŸŸ Lake Tanganyika
account_circle
Cypher PX(@TanganyikaKid) 's Twitter Profile Photo

Mzee aliongea Pumba afu akawa anajiamini kinoma na mikono anarusha, Posho tu anayopokea yeye (Mbunge) kwa kikao kimoja ni Boom la Mwanafunzi mmoja wa Chuo, ningemwona ana akili angesema Posho zao ziondolewe wapewe Wanafunzi waliokosa mikopo, No hate, ila huyu Mshua ni Mkoloni.

account_circle
MwanzoTvPlus(@MwanzoTvPlus) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ametetea kauli yake ya kutaka mkataba wa muungano baina ya Zanzibari na Tanganyika irejelewe.
Lissu amesema kamwe hatanyamaza wala kurudi nyuma katika mchakato wake wa kutaka haki ya uwakilishaji kwa watanganyika katika muunganoโ€ฆ

account_circle
KIDUKU(@TanzaniaOneJezi) 's Twitter Profile Photo

'TANGANYIKA Tunatawaliwa Na Rais Kutoka Nchi Jirani Ya ZANZIBAR' Mh. Freeman Mbowe

Huu Ni Ukweli, TANZANIA Ndio TANGANYIKA Na ZANZIBAR Ni Nchi Na SAMIA Ni Mwananchi Wa Zanzibar Sio Wa Tanganyika (Tanzania)

NB: NYERERE Alifanya Mengi Mazuri Kasoro Huu MUUNGANO, Alikosea Sana.

'TANGANYIKA Tunatawaliwa Na Rais Kutoka Nchi Jirani Ya ZANZIBAR' Mh. Freeman Mbowe

Huu Ni Ukweli, TANZANIA Ndio TANGANYIKA Na ZANZIBAR Ni Nchi Na SAMIA Ni Mwananchi Wa Zanzibar Sio Wa Tanganyika (Tanzania)

NB: NYERERE Alifanya Mengi Mazuri Kasoro Huu MUUNGANO, Alikosea Sana.
account_circle
MASHUJAA FC(@MASHUJAA_FC) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšจ TUNA SHUGHULI NAO WAKUSANYA MAPATO ๐Ÿฆ๐Ÿ’ช


Mashujaa Fc ๐Ÿ†š KMC Fc
๐Ÿ†
๐Ÿ•’ Saa 10 Jioni
๐Ÿ—“๏ธ 08.05.2024
๐ŸŸ๏ธ Lake Tanganyika

Nb: HII NI FAINALI KWETU NALAZIMA TUSHINDE

๐Ÿšจ TUNA SHUGHULI NAO WAKUSANYA MAPATO ๐Ÿฆ๐Ÿ’ช

#NextMatch
Mashujaa Fc ๐Ÿ†š KMC Fc
๐Ÿ† #NBCPremierLeague
๐Ÿ•’ Saa 10 Jioni
๐Ÿ—“๏ธ 08.05.2024
๐ŸŸ๏ธ Lake Tanganyika

Nb: HII NI FAINALI KWETU NALAZIMA TUSHINDE
account_circle
Boniface Mwabukusi(@Mwabuk2Boniface) 's Twitter Profile Photo

Hii ndiyo approach ya Police Service na Tungependa Ihamie kwenye Mikataba mibovu kama IGA inayo umiza na kuibaka Tanganyika.
Tukiwa na Katiba Mpya Police wema kama hawa watatamalaki.
DAI KATIBA MPYA tupate UTAWALA BORA.

account_circle